HomeRadio Vaticana
foto testata  

Categories


  Charity & Solidarity


  Church


  Culture & Society


  Vatican Documents


  Synod


  Ecumenism


  Family


  Youth


  Justice & Peace


  Politics


  Religion & Dialogue


  Science & Ethics


  Audiences
   & Angelus



  Pastoral visits


cx_t12

CTV - You tube

CTV



 home > Justice & Peace > news


07/11/2009 11.47.03



"Jamii ya watanzania si takatifu wala kamilifu inaelemewa na dhambi ya kutotimiza wajibu"






Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Tanzania hivi karibuni amesema, Tanzania inatarajia kutumia kiasi cha shilingi Billioni mia moja na sita, ili kufanikisha uchaguzi mkuu 2010.

Baadhi ya nchi wafadhili wanakusudia kuchangia kiasi hicho cha fedha ili kufanikisha zoezi la uchaguzi mkuu. Maboresho ya daftari la wapiga kura, ununuzi wa vifaa vya uchaguzi, elimu ya uraia, ugawaji wa majimbo na ufumbuzi wa migogoro ya uchaguzi ni kati ya changamoto zinazoikabli Tume ya Uchaguzi Tanzania.

Askofu mkuu Paul Ruzoka, Mwenyekiti wa Tume ya Haki na Amani, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, katika mahojiano maalum na Radio Vatican anafafanua kwa kina juu ya Barua ya kichungaji iliyotolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, inayoongozwa na mada "Enyi watu wangu sikieni sheria yangu" Kanisa Katoliki Tanzania linatambua kwamba, jamii ya watanzania si takatifu wala kamilifu, kwani bado inaelemewa na dhambi ya kutotimiza wajibu.

Dhamiri safi anasema Askofu Ruzoka ni dira ya Tanzania. Waraka wa Maaskofu ni wajibu wa kiraia na kwamba Ilani ya Uchaguzi inayopembua vipaumbele kwa Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu hapo 2010. Ninakukaribisha uweze kumsikiliza kwa majini Askofu Mkuu Ruzoka akifafanua kuhusu Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania.


  « back to index

 






10/11/2009 10.27.47
Sheria, kanuni na taratibu za nchi ziheshimiwe ili kudumisha haki, amani na ustawi wa jamii


10/11/2009 8.23.25
FAO licha ya kuchechemea kwa uchumi, kilimo kinapaswa kupewa kipaumbele ili kuwa na uhakika wa chakula duniani


07/11/2009 10.54.39
Imani thabiti ilichangia kuanguka kwa ukuta wa Berlini, miaka ishirini iliyopita!


05/11/2009 9.23.15
Mji wa Yerusalem hauna budi kuwa ni kitovu cha amani na suluhu ya migogoro katika Nchi Takatifu


05/11/2009 8.58.34
Mshikamano wa dhati, mafao ya kizazi kijacho na mabadiliko ya mtindo wa maisha; ni mambo ya kuzingatiwa katika agenda ya nishati



Related categories


Page précédente  Previous page
Page d'accueil  Home Page
Ecrire à la rédaction  Contact us
top
top
All the contents on this site are copyrighted ©. Webmaster / Credits / Legal Conditions
top
top